Unabii wa Habari za Biblia: Januari-Machi 2018

2. Kutoka kwa Mhariri:Upepo wa Mabadiliko ya Kibiashara Kulingana na kura ya kujiondoa kwa Waingereza,hatua zingine za Rais wa Marekani Donald Trump,mipango ya Waingereza,na matarajio ya Wachina,biashara ya kimataifa inabadilika.Je! Hii inaweza kusababisha vita vya kibiashara na baadaye vita halisi?
7. Je!Uko tayari kuila Pasaka? Pasaka ni baada ya jioni ya Machi 29 mwaka huu.Je! Utakuwa tayari kuila Pasaka?
13. Usiku wa Kuzingatiwa na Siku za Mkate Usiotiwa Chachu Hii inakuja baada ya Pasaka.Je! Unajua zaidi kuhusu siku hizi?
21. Jisomee Kozi ya Biblia Jaribio la 3 Hili ni jaribio linalojumuisha somo la 9-12 ya Kozi ya Biblia.
34. Ufalme wa Mungu na Shabaha za Umoja wa Mataifa Je! Ajenda ya Umoja wa Mataifa ya 2030 na mkataba wa Pari italeta mazingira safi na ustawi wa kiuchumi?Ama ni habari ya uongo?

Unabii wa Habari za Biblia Januari-Machi 2018

Posted in Kiswahili